Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli leo Disemba 24,2020 amemwapisha kamishna wa Maadili Jaji Sivangilwa Mwangesi huku akitoa maagizo kwa watumishi wote kuhakikisha wanakamilisha kujaza fomu za maadili ya utumishi wa umma kabla ya tarehe 30,Disemba ,2020. Akizungumza mara baada ya uapisho huo uliofanyika katika Ikulu ya Chamwino jijini Dodoma Rais
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed