RAIS DKT. MAGUFULI ATOA MAAGIZO WATUMISHI WOTE KUMALIZAKUJAZA FOMU ZA MAADILI KABLA YA TAREHE 30,DISEMBA,2020.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli  leo Disemba 24,2020 amemwapisha  kamishna wa Maadili  Jaji Sivangilwa Mwangesi huku akitoa maagizo kwa watumishi wote kuhakikisha  wanakamilisha kujaza fomu za maadili ya utumishi wa umma kabla ya tarehe 30,Disemba ,2020. Akizungumza mara baada ya uapisho huo uliofanyika katika Ikulu ya Chamwino jijini Dodoma Rais